Paul Clement-Amenifanyia Amani [REGGAE COVER] TuneDem Band

  • Song : Amenifanyia Amani [Reggae Cover]
    Cover Artist : TuneDem Band
    Original Artist : Paul Clement
    Audio : Taji Music
    Video : True Works Media
    [ We do NOT own the rights to the lyrics in this song. Its a Cover]
    Nijapopita, kwenye bonde la mauti
    Sitaogopa, maana wewe uko na mi
    Gongo lako na fimbo yako,
    eeh bwana vyanifariji
    Wanifanyia amani.
    Umesema, ya kwamba hutaniacha
    Sababu mimi, ni pone ya jicho lako
    Bwana wanitazama, asubuhi, mchana, jioni
    Eeeeh bwana, kweli mungu wa Baraka
    Amenifanyia amani,
    Amenifanyia amani
    Kaondoa huzuni yangu
    Kanifanyia amani
    Amenifanyia amani,
    Amenifanyia amani
    Kaondoa huzuni yangu
    Kanifanyia amani
    Amebadilisha, uchungu wangu
    Umekuwa, ni furaha yangu
    Ooooh huyu yesu, amenipa furaha
    Kanifanyia amani
    Amebadilisha, machozi yangu
    Yamekuwa, ni furaha yangu
    Ooooh huyu yesu, amenipaa furaha
    Kanifanyia amani
    Mungu wa Baraka
    Amenifanyia amani,
    Amenifanyia amani
    Kaondoa huzuni yangu
    Kanifanyia amani
    Amenifanyia amani,
    Amenifanyia amani
    Kaondoa huzuni yangu
    Kanifanyia amani
    Furaha unipayo siyo kama ya dunia hii
    Amani unipayo siyo kama ya ulimwengu huu
    Wewe waniganga moyo, nipatapo uchungu
    Wanifanyia amani
    Furaha unipayo siyo kama ya dunia hii
    Amani unipayo siyo kama ya ulimwengu huu
    Wewe waniganga moyo, nipatapo uchungu
    Wanifanyia amani
    Amenifanyia furaha
    Amenifanyia furaha
    Kaondoa huzuni yangu
    Kanifanyia furaha
    Amenifanyia furaha
    Amenifanyia furaha
    Kaondoa huzuni yangu
    Kanifanyia furaha

    Category : Kenya Music Videos

    #paul#clement#amenifanyia#amani#reggae#cover#tunedem#band

    0 Comments and 0 replies
arrow_drop_up