Ibraah - Nitachelewa (Official Music Video) SMS SKIZA 5702757 To 811

  • Ibraah - Nitachelewa (Official Music Video) SMS SKIZA 5702757 To 811
    #Nitachelewa is a Swahil words from tanzanian language, in English Means he will be late. In this song Ibraah Tell us how much he has been hurted by his truly girlfriend and he doesn't think if the pain will be recovered. this is why he called his song #Nitachelewa.
    For Bookings & More
    Email: Ibraahmanagement3@gmail.com
    Call: +255 718 712 420
    Download and Stream on all Digital Platforms Link
    ibraah.streamlink.to/Nitachelewa
    Subscribe for more official content from Ibraah:
    www.youtube.com/c/ibraah
    Follow Ibraah
    Instagram: www.instagram.com/ibraah_tz/
    Twitter: twitter.com/ibraah_tz
    Facebook: web.facebook.com/ibraah255
    Producer: B Boy Beats
    Director: Ivan
    The official YouTube channel of Ibraah. Subscribe for the latest music videos, performances, and more.
    Lyrics
    Aaah uuh ooh oh, ooh chinga
    Ah ah aaaah ah
    Aaah uuh ooh oh, ah ah ah
    Yeah sijui hata nifanyeje
    Sijui hata nifanye nini me
    Maana hata siamini
    Hmn no ho
    Nilikula kiapo nikungoje
    Ila bado haiingi akilini
    Maana nishakula ya mini yawe
    Eh kwa mashogazo ulichota mafumbo
    Ngoja ngoja inaniumiza tumbo
    Masikini umeshafata mkumbo, Yaani umesepa
    Umeziacha zimejaza na rundoo
    Na una ponda yangu fupi myundo
    Eti unaning'ong'a, tajiri wa uvundo
    Ndio chanzo umeniteka, aah
    Na naimani nitajijengea
    Nisikuwaze kwa ubaya kwa ubaya
    Maana before nlitimia
    Leo uwe mfano wa bandama umebanduka
    Labda yango nyota imefifia wamekuteka we ah we ah
    Simanzi imenielemea shilingi imepinduka
    Kama usiporudi (Nitachelewaa)
    Oh oh (kupona Nitachelewa)
    Ah Nitachelewam mama (Nitachelewa)
    Hmm Hmm (kupona Nitachelewa)
    Kupona maradhi ya moyo (Nitachelewaa)
    Yeah (kupona Nitachelewa)
    Kama sio wewe nani tena (Nitachelewaa)
    Oh no (kupona Nitachelewa)
    Nitachelewa mama
    Ah ah aah, hmmm yeah
    oh oh oh, yeah
    Mi najaribu kujisahaulisha ila moyo unagoma, unagoma
    Hasa nikikumba zako methali na nahau
    Japo unanionyesha dharau
    Moyo hautaki komaa, kukoma
    Mwingine sitaki penda na usidhani ka nitakusahau
    Oh maana vita penzi lako ntapigana
    Nikiamini utarudi we changama
    Maana siko sawa ujue, mkuki kwa nguruwe
    Kwa binadamu mchungu (Wanaogombana)
    Siku zote ndio wananopatana
    Ama unapenda mi ninavolalama
    Sijui nilipokosa ujue
    Na malengo ujue
    Mimi najua wewe langu fungu
    Na naimani nitajijengea
    Nisikuwaze kwa ubaya kwa ubaya
    Maana before nlitimia
    Leo uwe mfano wa bandama umebanduka
    Labda yango nyota imefifia wamekuteka we ah we ah
    Simanzi imenielemea shilingi imepinduka
    Kama usiporudi (Nitachelewaa)
    Oh oh (kupona Nitachelewa)
    Ah Nitachelewam mama (Nitachelewa)
    Hmm Hmm (kupona Nitachelewa)
    Kupona maradhi ya moyo (Nitachelewaa)
    Yeah (kupona Nitachelewa)
    Kama sio wewe nani tena (Nitachelewaa)
    Oh no (kupona Nitachelewa)
    Nitachelewa mama
    Chinga, Konde music world wide
    Yeah yeah yeah yeah yeah
    #Ibraah #Nitachelewa #Kondegang

    Category : Tanzania Music Videos

    #ibraah#nitachelewa#official#music#video#sms#skiza#5702757#to#811

    0 Comments and 0 replies
arrow_drop_up