Beka Flavour - Nakupenda (Official Video)

  • Mmmhh...
    Nakupa sifa zote baby, unanichanganya changanya eweh baby iih,
    Kwenye sita kwa sita wee fundi baby
    iih..
    Unanikoroga koroga sijiwezi iih eeh,
    Mbalamwezi kwa kiza unanimulika mwezako me nang’aa ng’aa,
    Penzi la miujiza nalopata kwako nabaki tu kushangaa,
    Mbalamwezi kwa kiza unanimulika mwezako me nang’aa ng’aah,
    Penzi la miujiza nalopata kwako nabaki tu kushangaa.
    Chorus
    Mpezi wangu nakupenda wewe tu,
    Me mwenzio bila wewe si kitu,
    Tumwombe mungu atuepushe vitu vitu,
    Tuishi milele mpaka tuone vitukuu,
    Washachelewa aah aah oweoh,
    Ushawaiwa aah aah oweoh,
    Washachelewa aah aah oweoh,
    Ushawaiwa aah aah ooh oweoh.
    Verse 2
    Mmh eeh aah,
    Kuna bebe zenu halafu kuna wangu ni mtu na nusu,
    Penzi linawaka waka halizimi si umeme wa luku,
    Kuna bebe zenu halafu kuna wangu ni mtu na nusu,
    Penzi linawaka waka halizimi si umeme wa luku,
    Yeye na mimi tupo sayari yetu sayari yetu,
    Tumeridhiana na yetu madhaifu madhaifu.
    Chorus
    Mpenzi wangu nakupenda wewe tu,
    Me mwenzio bila wewe si kitu,
    Tumwombe mungu atuepushe vitu vitu,
    Tuishi milele mpaka tuone vitukuu,
    Washachelewa aah aah oweoh
    Ushawaiwa aah aah oweoh,
    Washachelewa aah aah oweoh
    Ushawaiwa aah aah oweoh.
    #bekaflavour #bongoflavour #nakupenda

    Category : Tanzania Music Videos

    #beka#flavour#nakupenda#official#video

    0 Comments and 0 replies
arrow_drop_up